Msaada: Tatizo la damu ya hedhi

Bakulutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
2,557
Reaction score
1,787
Ni mke wangu, kwanza kabisa anaweza kaa siku zaidi 50 mpaka miezi 2 hajaona siku zake, mbaya zaidi akiona anakaa tena kama siku 10 anaona tena na sasa hivi imekataa kukatika kabisa.

Naomba mwenye kujua tufanye nini ili ikate na ile tatizo likome, alikuwa nalo kabla hajazaa, akaambiwa akizaa litaisha labda ni homon imbalance, ila ameshazaa, likakoma kama mwaka then limeanza tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…