Msaada: Tatizo la kigugumizi

Msaada: Tatizo la kigugumizi

KATIBUA

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
288
Reaction score
63
Habari, Jamani naulizia tiba ya kigugumizi ipo? Mwanangu ana miaka 3 ana kigugumizi kikali kuliko mimi, Je kinatibika?
 
Ndugu yangu kigugumizi hakuna hiyo dawa, mi nina 30 yrs ninacho toka utotoni hadi sasa plug hazichomi
 
Hayo ni matatizo ambayo mtu huzaliwa nayo mkuu na hakuna tiba. Upande wa kushoto katika ubongo wa binadam lugha ndiko inako ratibiwa, kuna eneo linaitwa broca's area ambalo ni maalum kwa uzalishaji au utamkaji wa lugha, kama hilo eneo linamatatzo huwa mtu huwa na matatzo kama hyo ya kigugumiz kitaalamu wanaita(broca's aphasia) ko ucjali 7bu sio ugonjwa. Hili tatzo husababisha kigugumiz, kutamka baadhi ya maneno vibaya na kuruka au kuacha baadhi ya maneno ukiwa unaongea.
 
Vilevile kigugumizi kinaweza kutokea pale mtu kapata ajali na ikamsababishia majeraha makubwa upande wa kushoto wa kichwa na eneo la broca likaathiriwa na hyo ajari.
 
Bigger nimekuelewa mno ninachofuatilia kipi kitamsaidia walau kupunguza tatizo? mimi kigugumizi kimepungua sijui sababu.
 
Back
Top Bottom