Msaada tatizo la kubleed wakati wakusex

Bm_boy

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2013
Posts
547
Reaction score
347
Habari Wakuu
Nimekua na mpenzi wangu amekua akitokwa na damu mara kwa mara pale tunapoanza tu ku du..!

Tumejaribu kutafta ushauri kwa madockta wametuambia labda ni kinga za uzazi alizokua akitumia..

Lakini hakuna maumivu yoyote anayo yapata wakati wa kuduu

Ametumia dawa mpaka za U.T.I lakin tatizo liko pale pale.

Nimeamu kulifikisha hapa kwa wataalamu na kwa ushauri zaid..
 
Seal zimelegea ndo maana kinemnw kinarusha damu kikiwa stimulated..dawa yale paka majivu uume kabla ya kuingiza
 
Ngoja waje wataalam,mimi ningekushauri akitokwa damu mwambie anawe alafu muendelee na game.
 
Seal zimelegea ndo maana kinemnw kinarusha damu kikiwa stimulated..dawa yale paka majivu uume kabla ya kuingiza

Mmmmh Asante mkuu kwa ushauri.
 
Ngoja waje wataalam,mimi ningekushauri akitokwa damu mwambie anawe alafu muendelee na game.

Hiyo ipo mkuu lakini hali kama hiyo inavyo tokea Stimu hukata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…