Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
habari wanajukwaa,ninatatizo,ni mwezi wa nne sasa najaribu kumpa mke wangu mimba bila mafanikio,cku zake za mwez ni 28 ila kuna wakati zinabadilika na kuwa 32,cjui nifanyeje
Tatizo la kupata mimba au tatizo la kukosa mimba? Kupata mimba ndio tatizo au kukosa mimba ndio tatizo. Dah kiswahili ni kigumu. Ila pole na tatizo. Tusubiri waje washauri.
Kwa sababu mzunguko wake unabadilika, mngeenda kwa dr wa wanawake wamchunguze siku maalum aliyo tayari kubeba mimba. Ni very simple.
kila la kheri
Ni mapema mno kusema hilo ni tatito! Miezi minne tu! Bado sana shughurika ipasavyo mkuu mimba itaingia tu.
habari wanajukwaa,ninatatizo,ni mwezi wa nne sasa najaribu kumpa mke wangu mimba bila mafanikio,cku zake za mwez ni 28 ila kuna wakati zinabadilika na kuwa 32,cjui nifanyeje
Mgegede kuanzia siku ya 11 hadi 18 a mzunguko wa hedhi ndo za kupata mimba haswa siku ya 13 hadi 16 ndo muhimu kabisa asipopata nakushauri uchepuke usimpa binti huko mimba jua kabisa ww ndo shida.
habari wanajukwaa,ninatatizo,ni mwezi wa nne sasa najaribu kumpa mke wangu mimba bila mafanikio,cku zake za mwez ni 28 ila kuna wakati zinabadilika na kuwa 32,cjui nifanyeje
mh nichepuke mh!hapo hapana,ila thanx kwa ushaur
mh nichepuke mh!hapo hapana,ila thanx kwa ushaur
Mmekwenda hospitali na kupima woote mkajua status zenu,kwa maana ya mwanamke kama anaweza kubeba mimba na kama mwanaume una uwezo wa kubebesha mimba??, mkipata hayo majibu then itaku rajisi kuanzia hapo
Pia tumia staili ya kifo cha mende (missionary position)
Usichoke aisee, pia muulize kama alishawahi kutumia dawa za majira, maana nazo ni majanga.
Hahahahaaaaa! untaka kuniambia haujawahi kuchepuka?
tangia niwe nae cjawai chepuka coz ananiridhisha