Njema kabisa
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 699
- 238
Njema kabisa anaweza kuwa keshapata mimba maana sababu mojawapo kutoona MP ni kuwa na mimba. kwa hiyo kwanza akapime halafu lete majibu
pole dear mi pia hua linanikata kichz hua nnatumia dawa inaitwa "piroxicam" lakin i would advice uende kumwona daktari .
afu pia jaribu kuchunguza vyakula unavyo kula na water intake yako kwa kipind chote b4 cku za period . punguza mafuta na ongeza maji ktk diet yako kipindi cha period kunywa maji ya moto au vuguvugu
dawa sio best alternative inaeza kukuaribia kizazi
Aende hospitali lakini pia kama hospital hakuna tatizo, mazoezi ni mazuri wakati wa hedhi. Je anatumia njia za kuzuia mimba? Hizo ni hatari kwakweli ingawa watu hawajali
Hujanielewa vzr mkuu ni kuwa dam inatoka tang tareh hyo had leo
ooops! Tafadhali mwambie aende kuonana na gynecologist haraka iwezekanavyo