Kafiti
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 537
- 220
Habari za jukwaa,
Kwa muda wa wiki mbili sasa nimekuwa nikiliona hili tatizo likinitokea. Mwanzo nilidhani ni kawaida labda kutokana na kufua itaisha siku inayofata lakini hii imekuwa tofauti.
Nimekuwa nikiona hii ngozi ya kiganja cha mkono ikiwa imechanika kwa yapata wiki mbili sasa.
Shida yangu ni kujua, ni vitu gani haswa husababisha tatizo hili ili nipate kujua lilipoanzia, pili namna ya kulitibu?
Natanguliza Shukrani.
Kwa muda wa wiki mbili sasa nimekuwa nikiliona hili tatizo likinitokea. Mwanzo nilidhani ni kawaida labda kutokana na kufua itaisha siku inayofata lakini hii imekuwa tofauti.
Nimekuwa nikiona hii ngozi ya kiganja cha mkono ikiwa imechanika kwa yapata wiki mbili sasa.
Shida yangu ni kujua, ni vitu gani haswa husababisha tatizo hili ili nipate kujua lilipoanzia, pili namna ya kulitibu?
Natanguliza Shukrani.