Msaada: Tatizo la ngozi ya kiganja kubabuka(kuchanika)

Kafiti

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
537
Reaction score
220
Habari za jukwaa,

Kwa muda wa wiki mbili sasa nimekuwa nikiliona hili tatizo likinitokea. Mwanzo nilidhani ni kawaida labda kutokana na kufua itaisha siku inayofata lakini hii imekuwa tofauti.

Nimekuwa nikiona hii ngozi ya kiganja cha mkono ikiwa imechanika kwa yapata wiki mbili sasa.

Shida yangu ni kujua, ni vitu gani haswa husababisha tatizo hili ili nipate kujua lilipoanzia, pili namna ya kulitibu?

Natanguliza Shukrani.
 
Sio fungus hao bali ni reaction kati ya ngozi ya kiganja na chemical fulani aidha ndani ya maji au sabuni unazotumia kufulia au hata hata kama Kuna dawa unaweka kwa kuloweka nguo.
 
hii shida nami pia ninayo hasa kila ifikapo kipindi cha kipupwe kuanzia mwezi june mpaka september
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…