Tafadhali, naomba msaada.
My wife anatatizo la nyonga ie pale ule mfupa wa femur unapo join na pelvis, Upande wa kulia na huhisi maumivu akilalia upande wa kulia. Hata akitembea ameanza kuchechemea
Pamoja na tiba ninazoendelea nazo, naomba experience ya mtu ambae alishakutana na scenario kama hiyo, na tiba, please nahitaji positive contribution. DRs nitashukuru kupata contribition yenu na advices !!!
thanks
My wife anatatizo la nyonga ie pale ule mfupa wa femur unapo join na pelvis, Upande wa kulia na huhisi maumivu akilalia upande wa kulia. Hata akitembea ameanza kuchechemea
Pamoja na tiba ninazoendelea nazo, naomba experience ya mtu ambae alishakutana na scenario kama hiyo, na tiba, please nahitaji positive contribution. DRs nitashukuru kupata contribition yenu na advices !!!
thanks