Msaada tatizo la Tv

Olsea

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
466
Reaction score
273
Habari wakuu,natumia Tv aina ya Mr Uk juzi jioni nimerudi nyumbani nawasha Tv nakuta nusu ya juu kwenye screen ya Tv mwanga umefifia kidogo(japo mpaka mtu uwe makinj sana ndiyo utaweza kugundua)..je hili tatizo Itakuwa ni nini?na je ni jinsi gani ya kulitatua?
Ukiangia hiyo picha niliyoweka hapa chini hayo maandishi meupe chini yameng’aa sana ukilinganisha na yale juu.
 

Attachments

  • 1662475880133.png
    7.5 KB · Views: 14
  • C13118C8-A375-44DA-8EF3-F4B2EE7329A2.jpeg
    461.5 KB · Views: 18
Taa hizo mkuu, as long as bado TV inatazamika endelea hivyo hivyo maana option pekee iliyopo kama unataka mwanga urudi ni ubadilishe huo mkanda wa taa za juuu.

maana yake utoe huo unaowakakwa kufifia uweke mpya unaowaka unavyotaka, jumlisha gharama za ufundi Hela itayokutoka najua Utaona ni bora uangalie tu hivyo hivyo maana hamna changes zozote zile ukizoea.

Unapata shida sasa hivi tu ila ukiiitumia hyo tv hvyo hvyo ndani ya wiki tu macho yanazoea yanaona kawaida maisha yanaendelea.
 

Shukran Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…