Pole sana,hebu jaribu hii kama wewe ni mmoja kati ya wale wanaokula huku wanakunywa maji wakati huo huo hebu acha,yaani fanya hivi baada ya kumaliza kula usinywe maji mpaka lipite lisaa limoja ndo unywe maji,hii mimi imenisaidia,kama haijakusaidia omba msaada zaidi..