Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
ameshakwambia hana VVU ila unamlazimisha! AiseeeHongera ila ni dalili usijedhani nomekutania
Acha ujuaji uchwara!So walikuwa tayari kukuroga ili usitoe siri zao kwa mtu yoyote, lakini hapohapo wakawa tayari kumsimulia mtu mwingine picha halisi ya ilivyokuwa ili atumike kukushawishi ukubali tiba ya mganga?
Ukiwa ulikuwa ni mdogo na kwamba ulikuwa haujitambui wala kuwa na ufahamu wakati huo, ni nani aliyekusimulia?
Twende taratibu tu.
Tatizo lilianza ulipopelekwa kwa mganga. Wakakupandikizia jini au uchawi.
Tafuta suluhu ya kiroho ambayo ni suluhu binafsi.
Wewe ni Mungu uliye katika mwili. Matatizo yako unaweza kuyatatua mwenyewe.
Hebu jitamkie mwenyewe. Amuru hayo mashetani yaondoke. Amuru uchawi ukuachilie.
Unaweza. Kabisa.
Tafuta na msaada mwingine pia kwa watu wengine huku ukiendelea kujiombea kwa Mungu.
Anza kwa kuogea chumvi ya mawe kila siku.Shukran sana
Hujalogwa wala nini. Una tatizo linatwa leaky gut syndrome. Huenda umetumia antibiotics kwa muda mrefu au kuna kitu kime upset your gut microbiota. Na kwa hiyo kwa sasa unfriendly microbiota ndiyo waliotawala your gut system. NitaendeleaShukran sana
Gut unamaanisha small intestine au......Hujalogwa wala nini. Una tatizo linatwa leaky gut syndrome. Huenda umetumia antibiotics kwa muda mrefu au kuna kitu kime upset your gut microbiota. Na kwa hiyo kwa sasa unfriendly microbiota ndiyo waliotawala your gut system. Nitaendelea
Msj Yako hapo mwishoni ni tataTatizo lilianza ulipopelekwa kwa mganga. Wakakupandikizia jini au uchawi.
Tafuta suluhu ya kiroho ambayo ni suluhu binafsi.
Wewe ni Mungu uliye katika mwili. Matatizo yako unaweza kuyatatua mwenyewe.
Hebu jitamkie mwenyewe. Amuru hayo mashetani yaondoke. Amuru uchawi ukuachilie.
Unaweza. Kabisa.
Tafuta na msaada mwingine pia kwa watu wengine huku ukiendelea kujiombea kwa Mungu.
Acha ujuaji uchwara!
Too much talk talk!! Kiherehere na ujuaji usio na tija.
Kama huna msaada nyamaza. Wacha wengine wamsaidie.
Na si ajabu wewe ndio LICHAWI LENYEWE.
Huo unga msaka uchawi kazi yake uwa ni niniAnza kwa kuogea chumvi ya mawe kila siku.
Nenda maduka ya asili nunua vitu vifuatavyo:
1. Mafuta ya mzaituni (elfu tano) jipake kila siku mengine changanya kidogo kwenye chupa ya maji kunywa kila siku.
2. Nunua unga unaitwa Kisaka uchawi (elfu tatu) (pikia kwenye uji kunywa kila siku)
3. Nunua mafuta ya Habat Sauda (elfu tano) (changanya kwenye chupa ya maji kunywa kila siku)
4. Chumvi ya mawe (elfu mbili)
Anza na hayo huku ukiendelea kusali.
Sijamlazimisha Mkuu.ameshakwambia hana VVU ila unamlazimisha! Aiseee
Ameshakwambia hana VVU.Sijamlazimisha Mkuu.
Nimemueleza kuwa asijedhani nimemtania au kumdhihaki.
Ni kweli mtu akipata maambukizi ya VVU huhisi Vitu kutembea mwilini.
KIHEREHERE.Kwakua tupo kwenye fake I'ds , nitakutambua kama mwanamke (kwa namna unavyojua kuchamba).
Huwa sibishani na wanawake, kwahiyo tufanye UMESHINDA.
Hizi elimu za kukariri ni tatizo katika nchi!Hujalogwa wala nini. Una tatizo linatwa leaky gut syndrome. Huenda umetumia antibiotics kwa muda mrefu au kuna kitu kime upset your gut microbiota. Na kwa hiyo kwa sasa unfriendly microbiota ndiyo waliotawala your gut system. Nitaendelea
Kuondoa uchawi wa kulishwa hasa uliopo tumboni na kwingineko.Huo unga msaka uchawi kazi yake uwa ni nini
Hizi elimu za kukariri ni tatizo katika nchi!
Ati MICROBIOTA!! Mwenzako kakwambia tatizo lilianza alipofanyiwa makorokocho na mganga wa kienyeji!
Ukiwa na akili timamu unaweza kuona chanzo ni nini na sio haya matakataka ya kukariri ya MICROBIOTA sijui nini!
Ninaheshimu sayansi, lakini si kila kitu ni cha sayansi.
Tena nyie mliokariri vitini ni watu hatari sana. Mwenzako atachukuliwa msukule kimasihara huku unamlisha antibiotics.
Wewe utakuwa lichawi si bure.Kwa akili kama zako, utakuta mtu kapandwa na malaria kichwani, damu imepungua mwilini, maji yamepungua mwilini nk.., kisha umekalia kupiga tunguri ukiamini anataka kichukuliwa msukule mpaka mgonjwa anakufia.
Unajiona mwenye akili ilhali akili yako umeiset kwenye matunguli tu.
Mwenye akili huangalia uwezekano wa pande zote, sio kuwaza tunguri tu. Katafute basi wagonjwa wa UKIMWI uwapigie hizo tunguli zako.
Ndiyo bossGut unamaanisha small intestine au......
key points about leaky gut syndrome:leaky gut syndrome. Huenda umetumia antibiotics kwa muda mrefu au kuna kitu kime upset your gut microbiota.