kama anawashwa na kambiwa hana fungus then it could many other infections, so aende pharmacy anunue antibiotic, e.g flagine doz moja na cloksasilin doz moja (jumla 4500) ameze, anywe maji mengi na ale matunda kwa wingi wakati wa dozi cz flagine chungu haswaa, awe msafi maeneo ya ikulu, akikojoa atawaze na maji safi then ajifute maji na kitambaa kikavu na avae chupi safi ya coton na usiku asivae chupi ili apate hewa, ajizuie kujikunakuna, after one week atakua ameanza pata nafuu.