Msaada:Tech.College vs High school

Mwanangu hatosoma A level.Nenda Tech tena DIT na si pengine popote.

Course: Civil au Telecommunication
 
Wana JF naombeni msaada wa mawazo yenu,nipo kwenye dilema kama title inavyosema

Sikushauri kuja huku advance,me mwenyewe nilipewa option mbili kati chuo au advance,walionishauri chuo xaxa nawakumbuka na nina juta kuja advance
 
Kijana mbona Leo virai tuu sentensi ziko wapi?

CC: Baba V

Chezea kulipuliwa wewe.. Nikicheki comment zake nafananisha na zile picha na post zake facebook basi mbavu sina.
 
Last edited by a moderator:
Nimefaulu mkuu,ila ndo cjui wapi bora,ila mimi kama mimi naona bora chuo,na ndizo zilizokua plani zangu toka o-lvl,ila nyumban wanataka niende a-lvl

.
Tuko pamoja namie the way to Tech collage!
Ngoja nisubirie post
.
 
Chezea kulipuliwa wewe.. Nikicheki comment zake nafananisha na zile picha na post zake facebook basi mbavu sina.

Hata kiumri anaonekana mdogo sana maskini ya mungu
 
we mtu si ulini-pm ukaniambia uko muce? Leo tena utasemaje maana kuna uzi umekuelezea wasifu wako bayana.

hana lolo huyu!
Kichwa kibaya ka tikiti maji la chalinze.
 
Hata kiumri anaonekana mdogo sana maskini ya mungu

Tatizo adabu zake kazikalia, laiti angelijua kuwa humu wengine anaowakashfu ni umri wa baba zake. Dadadeki wallah..!
 
Kasome diploma tena DIT,MIST,ATC,tu usiende ST.JOSEPH ,
Aiseee polee sana Tafuta details za rank za vyuo vya uhandisi mwaka jana utawajua hao wahindi ni kina nani? Shida yao naskia karo kubwa ila ni chuo kinachokua kwa kasi most especially branch yao ya dar
 
Sikushauri kuja huku
advance,me mwenyewe nilipewa option mbili kati chuo au
advance,walionishauri chuo xaxa nawakumbuka na nina juta kuja
advance
Pamoja sana
 
unawezaje ukachaguliwa!

Kunafom ambazo huwa mnapewa za machaguo ya kwenda tech. College au advance.

Kama unataka kwenda tech college unajaza tech college sehem ya advance unaiacha.

Ila hakikisha hesabu uko vizuri ( no F) ukiwa na F ya hesabu hawakuchukui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…