Msaada tecno k7

Kabelwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
667
Reaction score
183
Habari ndugu naomba msaada simu yangu ina tatizo unaweza kuitumia siku nzima ila kuna muda inajizima na kujiwasha na inaendelea kufanya hivyohivyo mpaka unapobonyeza kitufe cha kuzima ndio inafunguka sasa naomba kufahamu tatizo ni nini na suluhisho lake kabla sijaenda kwa fundi,ahsante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…