Msaada tena wana jf-tcu

Msaada tena wana jf-tcu

irumba1

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2013
Posts
882
Reaction score
321
Kwenye guide book 2013/14 baadhi ya faculty pale kwenye POSSIBLE LOAN AMOUNT wameweka desh(-) au unakuta wameweka sifuri(0) lakini kule mbele wamekuandikia PRIORITY hii inamaana gani? Kuna uwezekano wa kupata au kutokupata mkopo? Naombeni msaada kwa wenye uelewa.
 
Back
Top Bottom