Yasin Yahya
Member
- Jan 18, 2013
- 33
- 0
habari ?
naomba unijuze kama wewe ni muhusika wa IFM au TIA.
nimepeleka form ya maombi ya kujiunga kwa ngazi ya certificate katika vyuo hivyo.
Kwa hiyo ningependa kufahamu kama majibu yamesha toka au kama bado kwa mwenye kujua lini yanaweza kutoka pia anifahamishe.
asanteni !
naomba unijuze kama wewe ni muhusika wa IFM au TIA.
nimepeleka form ya maombi ya kujiunga kwa ngazi ya certificate katika vyuo hivyo.
Kwa hiyo ningependa kufahamu kama majibu yamesha toka au kama bado kwa mwenye kujua lini yanaweza kutoka pia anifahamishe.
asanteni !