Wakuu Ni Wiki 2 Sasa Koo Langu Liko Ambushed Kwa Fangasi
Msaada Kwa Wale Wahanga Na Wazoefu Wa Yale Mambo!...... Mnatumiaga Mbinu Gani Kurecover?
Nunua kitunguu swaumu.Menya chote kama vile uandaavyo kwa ajili ya kupikia.Twanga ama saga,vikishasagika changanya na maji ya uvuguvugu kidogo kipimo cha kijiko cha chai ili vilainike.Chota msagiko wote wa vitunguu na uvimeze.Wakuu Ni Wiki 2 Sasa Koo Langu Liko Ambushed Kwa Fangasi
Msaada Kwa Wale Wahanga Na Wazoefu Wa Yale Mambo!...... Mnatumiaga Mbinu Gani Kurecover?
Hilo swali umelielekeza kwa nani mkuuNingependa kushea exprience ya huo ugonjwa, koo linakuwaje?je tonsils zinavimba?plz tungependa kuelimika kutoka kwako bro?ili na jamii iweze tambua plz
Mkuu jaribu kunielewa sikatai asitumie dawa ukiona mpakaMzizi mkuu
Esophageal candidiasis ni ugonjwa wa wenye immuno suppression na ni stage 4 kwa gonjwa la sasa hivo lazma aanze dawa.
Tumia fluconazole high dose na anza septrin pia
Pole sana mkuu, watu watakuwa wamejifunza kutokwenda chumvini.
Wakuu Ni Wiki 2 Sasa Koo Langu Liko Ambushed Kwa Fangasi
Msaada Kwa Wale Wahanga Na Wazoefu Wa Yale Mambo!...... Mnatumiaga Mbinu Gani Kurecover?
Nitafute kwa namba 0757420505 NI ugonjwa mbaya sana hivyo nitafute naweza kukupatia dawa na utapona kabisa
Wakuu Ni Wiki 2 Sasa Koo Langu Liko Ambushed Kwa Fangasi
Msaada Kwa Wale Wahanga Na Wazoefu Wa Yale Mambo!...... Mnatumiaga Mbinu Gani Kurecover?
Ningependa kushea exprience ya huo ugonjwa, koo linakuwaje?je tonsils zinavimba?plz tungependa kuelimika kutoka kwako bro?ili na jamii iweze tambua plz
Mkuu kama ni mwanaume basi kua makin waeza saidiwa na wenzio huko mkeo akatafuta anayejua kumwendea chumvin maana Wanawake wengi wanapenda kulambwa chumv.......sasa kama mkeo humfanyii ivyo hmm