kuna wakati huwa nakuwa strongly convienced kwamba mantiki ama purpose ya hili jukwaa inakosewa sana. sijui na ethics gani tunatumia kutoa ushauri tunaotoa, maana kinachoandikwa humu is very unethical and very unprofessional.
uhai wa mtu sio wa kuchezea, tusifanye majaribio.
ni hayo tu, mk1.
Mkuu, kuna jamaa ana Dawa yeye anaiita DNA ingawa hicho ni kifupi cha majina Yeye, Mke wake, na Binti yake. Ni dawa iliyofanyiwa utafiti na kuthibitishwa na TRADITIONAL MEDICINE RESEARCH (samahani kama sijapatia).Hiyo dawa ni mchanganyiko wa dawa nyingi za asili, vikiwamo viungo tunavyovitumia kwenye vyakula!mtafute kwenye 0784261855, 0787261855 na 0754261855.Anaitwa Dani.
Nunua kitunguu swaumu.Menya chote kama vile uandaavyo kwa ajili ya kupikia.Twanga ama saga,vikishasagika changanya na maji ya uvuguvugu kidogo kipimo cha kijiko cha chai ili vilainike.Chota msagiko wote wa vitunguu na uvimeze.
Tahadhari,jitahidi uwe na mfuko ama sehemu ya maliwatoni maana kama hauna tumbo zuri unaweza tapika.(Mara chache sana hutokea kutapika)
Ukishakaa kama dk 15 hali yako kutotapika itarudi kawaida.Baada ya SIKU 7 ,tangu kutumia dawa utaona minyoo hakuna tena na fungus wote wamekauka!Kwisha kabisa!!!!
Pia kama una presha ya kushuka usitumie hii dawa maana huwa inashusha sana presha,labda unywe na kahawa baada ya kuinywa dawa hii ili kuipandisha tena presha!
Majigo pamoja na kupata dawa ya Dr wangu MziziMkavu na zile za madukani, pia kama walivyofanya baadhi ya member nakushauri pia ukapime afya yako mapema sana!!! si kwa nia mbaya ila kwa kua ulikuwa unazama basi jua unaweza kukutwa na lolote tu. Ni bora ufanya yafuatayo, pima VVU na kipomo cha Cancer pia kwa kuwa hata MziziMkavu ameelezea tafiti ya WHO na masuala ya Oral Sex!!! Du ni lini tutaacha kutembeza ndimi kwa watu wa hit and run?? Kuna vionjo vingi vya foreplay kiasi kwamba hata cha chumvini unaweza kuacha hata kama ni kwa mke/mume!!! Hatuaminiani siku hizi!! Kila mtu mchepuko tu!!!! Mara niko kitchen party kumbe mchepuko, mara fundi gari kumbe mchepuko wako!!! Ni nani atapona!!!?? Wenye ndoa tunaongoza!!!
dahh! Mkuu nimekuelewa ila ngoja kidogo nisikilizie , nitakwenda kupima ukimwi baadaye kidogo!!
Ila jamani msinishauri tena suala la kuchukua vipimo vya HIV!
Mkuu nasubiria, ukitoka tu uje utupe majibu hapa, tena yakiwa +ve nidyo vizuri sana upate ushauri kuliko kumeza kaa na kuumia CD4 zishuke ufe haraka!!! There is plenty of life after HIV?? Wenye Cancer hata miaka mitatu kama ni ya sehemu nyeti kama koo au tumboni hata miaka mitatu hawamalizi!!! Why worry wakati na HIV unaweza kudumu hata miaka 20 hujameza kidonge? Hapa ni kama uligundua maambukizi mapema na kuanza kujitunza hasa kwa kula health na kupunguza ngono maan akuacha not health pia!!! CD4 zikishuka ukaanza the right dose you have another 20 years, hapa pia kuna taratibu health eating ne mengine!! Sasa kama now you are at 25-30 sasa huoni kama una 65-70 unaishi? Usiogope VVU, ogopa cancer (saratani), kisukari, presha!!!!
nimekubali dokta ila kwa sasa mind yangu haijatulia
ahsante sana kwa kunipa matumaini!
Ninakutakia kila la kheri niombee dua tu na mimi asante kwa kunipa Feedback.ahsante Dr MziziMkavu
samahani sana kwa kuchelewa kutoa mrejesho
taarifa ni kwamba mimi nimepona kwa ushauri ulionipa mimi sasa sio mgonjwa tena!
Mkuu jaribu kunielewa sikatai asitumie dawa ukiona mapaka
mtu ameleta hapa matatizo yake tuna imani amesha kwenda hospitali hatuwezi kumpa ushauri wa dawa za
mitishamba kutumia pasipo na kujuwa kama amesha kwenda hospitali kujitibia? ukiona mtu kaja hapa kutaka
msaada wetu inamaanisha Hospitali wameshindwa kumtibu hayo maradhi. Au ametumia dawa za hospitali
hajapona ndio maana kaja hapa kuataka Msaada na ushauri wetu. Mkuu huyu mkuu Majigo ameshapatwa na
Saratani ya Koo (ORAL SEX) hiyo ndio dalili yake. Hebu soma hapa chini
Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini umeonyesha asilimia 20 ya
Saratani ya koo husababishwa na ngono ya mdomo maarufu kama Oral Sex.
Utafiti huo unaonyesha saratani ya koo licha ya kuambukizwa na njia mbalimbali ikiwemo ulaji wa
vyakula vyenye pilipili, pombe kali, vitu vyenye uchachu pamoja na kurithi kutoka kwa wazazi.
Utafiti unaonyesha watu wengi hasa vijana wanamejiingiza kwenye vitendo hivi vya kufanya ngono
wakitumia midomo hasa ndimi, hivyo kuhatarisha uhai wao.
Katika utafiti huo wa hivi karibuni, ulibaini wanaume 747 na wanawake wakiwa 472 hugundulika
kila mwaka kuwa na saratani hiyo huku wanaopoteza maisha kila mwaka ni wanaume 444 wakifuatiwa
na wanawake 270 kutokana na ugonjwa huo.
Utafiti unabainisha kuwa asilimia kubwa ya vijana wenye umri kati ya miaka 20 hadi 45 wanatumia staili
ya kuwanyonya wenza wao sehemu za siri lengo likiwa ni kuwavutia wapenzi wao katika kushiriki ngono.
Vijana wenye umri huo ndio wahanga wakubwa kwa sasa kutokana na ugonjwa huo kuonekana kuwaathiri
kwa kasi, huku wengi wakiwa hawajui athari zake. Baadhi hujisifia kwamba ni wajuzi, kumbe wanajitafutia
kifo kwa kufanya vitendo hivyo.
Utafiti unaonyesha kwa watu wazima walio wengi hawana muda wa kufanya hayo wanayofanya
vijana, hivyo kujikuta angalau wanakuwa salama na kupatwa na saratani ya koo kwa njia hiyo
inayoonekana kama ni chafu pia.
hapana mkuu!
Kwani siku zote ninapotoa maswahibu yangu nyeti hapa huwa nakwenda hospita?
Namaanisha, wala si utani!
siendi kupima mkuu!
Mimi sasa nimepona
dawa kanipatia Dr wangu mzizi mkavu
ahsante kwa ushauri!