msaada tiba mbadala ya mifupa

msaada tiba mbadala ya mifupa

royna

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2010
Posts
479
Reaction score
335
Wanajamvi salaam!
Ninaomba kusaidiwa mtu anayemfahamu mtaalamu anayetibu kwa kutumia mimea kwenye tatizo la mifupa au nerves. Nina case ya mtu ambaye discs zake tatu za kwenye spinal cord zimechakaa kiasi cha kuathiri mshipa wa fahamu. wataalamu hapa wanasema hakuna njia nyingine. Je mtu anaweza toa ushauri please? ama India? If yes, ni hopt gani na mji gani?so much in need and in demand!
 
Back
Top Bottom