Msaada: Tiba ya maumivu ya miguu kwa mgonjwa wa Kisukari

Msaada: Tiba ya maumivu ya miguu kwa mgonjwa wa Kisukari

ndisinzowa

Member
Joined
Aug 18, 2010
Posts
86
Reaction score
14
Hi Jf,

Mama yangu anasumbuliwa sana na miguu na pia ana Kisukari.

Tushampeleka baadhi ya Hospitali na baadhi ya dawa katumia lakini hazijamsaidia.

Naombeni msaada kwa ushauri wenu.

Nawashukuru
 
Apunguze uzito, abadilishe lishe ili apunguze matumizi ya hizo dawa. Ukigoogle hizo dawa utaona baadhi ya side effects zake ni maumivu ya viungo hivyo hakuna tiba zaidi ya kuacha kutumia hizo dawa.

Kingine ni umri kama ni mtu wa makamo inawezekana ni uzee ukichangia na madhara ya kisukari MaDr wetu TZ uwa hawakuambii vitu hivi wao ni kukujaza madawa tuu
 
Back
Top Bottom