Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Asante..
Tupo wengi...mi ni mwaka sasa nasumbukaAsante..
Haupo peke yako mkuu wimbo ulio Bora. Tupo wengi.
Cha muhimu ni kuikubali hali na kuepuka vichochezi.
Mimi nina hili tatizo, mwaka wa 13 sasa na nimeishi Kwa dawa hadi nikachoka.
Nimejikita kwenye maombi sasa. Angalau hali imepungua, yaani sasa hivi nadeal na maombi tu!
Nitaleta feedback nikifanikiwa.
Aisee mimi scenario yako iko kama mimi mpaka naanza kuogopa kuingia theater tena maana Dr aliniambia ili operation ifanyike lazima pressure iwe kawaida sababu damu haitakiwi kutoka sehemu ya pua maana madaktari watashidwa kuzionaSame scenario nilikuwa nayo. Yaani ukiingia theater pressure iko high muda wote. Wakataka wanipatie dawa za pressure ili ishuke ndio wanifanyie. Akatokea dkt mmoja akapinga shauri hilo.
Nilikaa theater almost two hrs nikiongeleshwa ongeleshwa ili pressure ishuke (kumbuka hapo nishalipa mkwanja mrefu juu ya hilo)
Basi nikafanyiwa hivyo hivyo kuja kuzinduka nina mabandeji puani niko wodini.
Nashukuru Mungu nahema fresh mda mwingine najihisi kama pua ziko wazi.
Shida ni pressure ndg yangu natamani sana kufanya operation naogopa mnoo hii issueNi operation Tu.
Fanya na Kila kitu kitakaa sawa with in few days utakuwa poa na utashangaa ulichelewa Nini.
All the best
Nikweli Mkuu sijapata suluhisho lolote namimi naaminj hapa jamii forum ndy mwarobaini wa matatizo lukuki[emoji11]hiii Mada imeisha hivi hivi bila suluhisho...hii inaonesha hili tatizo halina tiba ni kukomaa nalo tu had utwaliwe
Ulifanya operation hospitali gani? pia vipi kuhusu presha saizi iko poa?Same scenario nilikuwa nayo. Yaani ukiingia theater pressure iko high muda wote. Wakataka wanipatie dawa za pressure ili ishuke ndio wanifanyie. Akatokea dkt mmoja akapinga shauri hilo.
Nilikaa theater almost two hrs nikiongeleshwa ongeleshwa ili pressure ishuke (kumbuka hapo nishalipa mkwanja mrefu juu ya hilo)
Basi nikafanyiwa hivyo hivyo kuja kuzinduka nina mabandeji puani niko wodini.
Nashukuru Mungu nahema fresh mda mwingine najihisi kama pua ziko wazi.
😁hiii Mada imeisha hivi hivi bila suluhisho...hii inaonesha hili tatizo halina tiba ni kukomaa nalo tu had utwaliwe