Msaada: Tiba ya Vipele kwenye Kidevu

Msaada: Tiba ya Vipele kwenye Kidevu

mc luggy

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2013
Posts
454
Reaction score
102
Daaah nina tatizo lakusumbuliwa na vipele vingi sana katika kidevu changu kutoka na kazi ninazofanya sometimes inanibidi kutumia hata wembe basi hapo ndo huwa ni makosa makubwa sana na hata nikinyoa saloon kwa mashine zinapoota tu pale natoka vipele vidogo vidogo vyenye usaha na maumivu makali sana

Nimejaribu njia mbali mbali na kwa kutumia hata sabuni mbali mbali after shave mbalimbali lakini tatizo hilo bado nilienda hata SEARCH AMON nilipewa sabuni,after shave na cream moja iv ya kupaka amvavyo vilighalimu kama 43 elfu but ckuweza kupona hadi leo

Naomba msaada wenu wa jf kwa mwenye kunipa njia mbadala labda kuna vitu nakosea mie ingawa nahangaika na dawa mbali mbali au dawa gan naweza tumia
 
Kama uonavyo katika picha iyo
 

Attachments

  • 1416079072102.jpg
    1416079072102.jpg
    80.4 KB · Views: 149
Umejaribu dawa za asili? lakini ngoja ma doctor waje..,,
 
Back
Top Bottom