Msaada: Tiba ya Vipere

George Betram

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
4,672
Reaction score
6,272
Habari wanaJF?

Mtoto wangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi 6, anasumbuliwa sana na Vipere. Nishampeleka sana hospitali, lakini dawa zote anazipewa hazimsaidii, akitumia dawa Vipere vinapotea kwa muda mfupi lakini baada ya muda mfupi vinarudi tena.

 
Jaribu pia kumuogesha na sabuni zenye dawa mfano detol za watoto zile
 
Pia Wahaya wapo vizuri kwenye madawa ya asili jaribu kutafuta mtu wahuko kama anaeza kufanyia mpango!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…