hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,890
- 2,795
Wadau nna kiwanja chetu tulinunuaga mda kidogo toka kwa auctioneer (Yono Auction) baada ya mteja mmoja ku default payment. Hicho kiwanja hakina hati na kimejengwa mda tu. Sale agreement kati yetu na Yono ipo.
Nataka kupata TD.
Naombeni msaada naanzaje anzaje?
Nataka kupata TD.
Naombeni msaada naanzaje anzaje?