Nimeenda kutoa hela kwenya ATM, baada ya kutoa nikaangalia salio ambapo ilionesha kuna Actual balance na available balance, amount ya actual ni kubwa kuliko available balance, naomba kujua tofauti ya actual balance na available balance.
kuna balance inayotakiwa kubaki kwenye akaunti mfano akaunti kufungua ni elfu 50000 lakini wewe una elfu 85000 kwa hiyo available balance ni 35000 maana unatoa balance ya akaunti na kiasi kilichopo actual ni hela zilizopo kwenye akaunti bila kujali balance ya akaunti ambayo ni 85000
Nimeenda kutoa hela kwenya ATM, baada ya kutoa nikaangalia salio ambapo ilionesha kuna Actual balance na available balance, amount ya actual ni kubwa kuliko available balance, naomba kujua tofauti ya actual balance na available balance.
Huo u tofauti ni wa kila siku unapochukua pesa ATM au Leo ndiyo umegundua hilo.
Maana hizo tofauti zipo siku zote.Na Actual balance inajumuisha pesa yako uliyofungulia account,na Available balance ni pesa ambayo unaweza kutoa na si zaidi ya hapo.