The Farmer TZ
Member
- Aug 22, 2014
- 21
- 7
Habari wakuu naomba kufahamu kama hizo course zinatumia mtaala mmoja,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MUCE ni tawi la UDSM (kama ilivyo kwa DUCE), mtaala wa kozi husika ni mmoja.Habari wakuu naomba kufahamu kama hizo course zinatumia mtaala mmoja,
Ok, ila nilikuwa ninawasi labda Bsc. ya MUCE itakuwa specialized kwenye EducationMUCE ni tawi la UDSM (kama ilivyo kwa DUCE), mtaala wa kozi husika ni mmoja.
Hapana, japokuwa kuna baadhi ya kozi za Chemistry ni shared baina ya Chemistry education students na BSc in Chemistry students.Ok, ila nilikuwa ninawasi labda Bsc. ya MUCE itakuwa specialized kwenye Education
Boss kama sijakupata vizuri, unaweza weka sawa maelezoMuce na Udsm ni taasisi mbili tofauti ?
Kama ni taasisi mbili tofauti kwanini anayewa award certificates ni mtu mmoja
Udsm na Muce ni sawa na Ccm na TlpBoss kama sijakupata vizuri, unaweza weka sawa maelezo
Hawana, wana bed science tu, nahisi mleta mada hajuh tofauti ya hizo course mbili.Dah kweli nahitaji kurudi tena shule how MUCE wana bsc in Chemistry duh! Nilijua ni bsc with ed na Bed science.
Mkuu angalia admission book ya TCU, zote zipo Bsc. Education na Bsc. In Chemistry- MUCE, Mtoa made yupo sahihi,Hawana, wana bed science tu, nahisi mleta mada hajuh tofauti ya hizo course mbili.
Dah! nimefuatilia nimekuta ipo kweli, nadhani wameianzisha mwaka huu MUCE nahisi UDSM watakuwa wameipeleka pia kule, lakini sijajuh lengo lao la kuipeleka Kule kwa sababu kile ni chuo cha walimu, na Bsc in chemistry hawezi kuwa mwalimu!Mkuu angalia admission book ya TCU, zote zipo Bsc. Education na Bsc. In Chemistry- MUCE, Mtoa made yupo sahihi,