Yeah, MRDT ni vipimo ambavyo sivipendi hata kuviona machoni pangu, ni sawa sometimes vinaonyesha positive, lakini B/s ndio njia ambayo naiamini 1000000%
Ubovu wa MRDT ni pale tu inapoonyesha negative wakati kiuhalisia huyo mtu anamalaria, na hii inatokana na kiasi cha antibodies kuwa kidogo mnooo baada ya huyo mtu kuwa na malaria, hali ambayo inafanya hicho kipimo kisiweze kudetect hizo antibodies, hadi tu pale antibodies zinakapokuwa kiasi fulani ndipo MRDT inaweza ikasoma positive lakini ikiwa ni weak-positive