Msaada-Toyota Crown athlete 2006 Power steering issue!

Msaada-Toyota Crown athlete 2006 Power steering issue!

Scofied

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2012
Posts
2,456
Reaction score
1,673
Wakuu heshima kwenu

Tatizo la steering kukaza baada ya taa za power steering kuwaka limekuwa la kujirudi sana kwenye gar yang.

wale jamaa wa kupima walipima wakaona kuna fault kwnye wire wanakaza inakaa frsh baada ya mda inarudia tena…msaada kwa mwenye wa fundi mzur anaeweza nisaidia wakuu.

Mimi nipo Arusha!

Thanks.
 
Wakuu heshima kwenu…Tatizo la steering kukaza baada ya taa za power steering kuwaka limekuwa la kujirudi sana kwenye gar yangu…wale jamaa wa kupima walipima wakaona kuna fault kwnye wire wanakaza inakaa frsh baada ya mda inarudia tena…msaada kwa mwenye wa fundi mzur anaeweza nisaidia wakuu…me nipo Arusha! Thanks.
Ukweli hongera sana, una gari kumbe sisi jf hatuna habari?
Hongera sana mkuu.
 
Powersteering ya crown ni ya umeme,,,, hapo kama ulitembea kwenye madimbwi ya maji jua imeisha kufa,,,, fanya ukanunue mpya kama 350k
 
Back
Top Bottom