Msaada: Toyota Premio kuishiwa nguvu inapopanda mlima

Msaada: Toyota Premio kuishiwa nguvu inapopanda mlima

Ibanda1

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2015
Posts
723
Reaction score
1,125
Habari wanajamvi,

Gari yangu Toyota premio (1.5L) imekuwa na changamoto kadhaa amabazo nashindwa kizipatia majawabu.
(i) Gari kukosa nguvu inapopanda mlima, hili tatizo lilianza miezi mitatu iliyopita siku moja nilinusurika ajali wakati nina overtake kwenye mlima nilishangaa gari hainipi ile speed niliyoizoea ama niliyoikusudia ikanilazimu kurudi upande wangu haraka sana, baada ya kuona tatizo limekuwa kubwa nikaenda kwa fundi akasema tatizo ni fuel pump imeungua kwa kuwa inanesha natembelea mafuta madogo kweli nilikili kuwa miezi kadhaa nilitembelea sana mafuta ya kidebe basi tukabadilisha na tukaitest ikaonekana kama imetulia hivi ila baada ya wiki tatizo likajirudia tena na hadi sasa napata hiyo changamoto yaani RPM inagonga 3.5k ila speed iko 40km/s.

(ii) Tatizo lingine ni kelele kwemye dashboard, ni kama kuna vitu vimeachia nikiendesha gari nasikia sauti kwenye ule mwamba wote wa mbele gari inagonga hadi ile test ya gari situation vizuri.
Naombeni msaada wenu, kwa sasa nipo Dodoma.
 
Check hydroulic kama ipo sawa kwenye gearbox
Check engine level na kama ni oil sahihi
 
Check hydroulic kama ipo sawa kwenye gearbox
Check engine level na kama ni oil sahihi
Asante mkuu, unaweza kunisaidia recommended engine oil na gearbox hydraulic ya premio?
 
Asante mkuu, unaweza kunisaidia recommended engine oil na gearbox hydraulic ya premio?
Tumia za Puma na Total mostly nina 20+ years natumia hizo engine na gearbox zangu ni kama mpya
 
Angalia pia uchomaji wa mafuta kama upo sawa, check ignition coil na spark plugs
 
Check hydroulic kama ipo sawa kwenye gearbox
Check engine level na kama ni oil sahihi
Mkuu tank la mafuta litakuwa chafu so inavuta tope, hili tatizo limemsumbua Sana Rafiki katumia gharama kubadilisha vitu ambayo havina shida
 
Mkuu tank la mafuta litakuwa chafu so inavuta tope, hili tatizo limemsumbua Sana Rafiki katumia gharama kubadilisha vitu ambayo havina shida
Upo sahihi huenda huwa anatembelea mafuta machache kupita kiasi pump imejaa uchafu
 
Habari wanajamvi,

Gari yangu Toyota premio (1.5L) imekuwa na changamoto kadhaa amabazo nashindwa kizipatia majawabu.
(i) Gari kukosa nguvu inapopanda mlima, hili tatizo lilianza miezi mitatu iliyopita siku moja nilinusurika ajali wakati nina overtake kwenye mlima nilishangaa gari hainipi ile speed niliyoizoea ama niliyoikusudia ikanilazimu kurudi upande wangu haraka sana, baada ya kuona tatizo limekuwa kubwa nikaenda kwa fundi akasema tatizo ni fuel pump imeungua kwa kuwa inanesha natembelea mafuta madogo kweli nilikili kuwa miezi kadhaa nilitembelea sana mafuta ya kidebe basi tukabadilisha na tukaitest ikaonekana kama imetulia hivi ila baada ya wiki tatizo likajirudia tena na hadi sasa napata hiyo changamoto yaani RPM inagonga 3.5k ila speed iko 40km/s.

(ii) Tatizo lingine ni kelele kwemye dashboard, ni kama kuna vitu vimeachia nikiendesha gari nasikia sauti kwenye ule mwamba wote wa mbele gari inagonga hadi ile test ya gari situation vizuri.
Naombeni msaada wenu, kwa sasa nipo Dodoma.
Kama haipandi mlima nenda kwa wamasai😁
 
Back
Top Bottom