Msaada Toyota Spacio v/s Toyota Wish ipi itanifaa

Msaada Toyota Spacio v/s Toyota Wish ipi itanifaa

GPP1922

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
537
Reaction score
537
Wakuu nami nataka kumiliki usafiri wangu kwa mara ya kwanza kwa matumizi ya kawaida ya kifamilia, route za mikoani mara moja moja Dar - Kahama au Dar - Mbinga. Je ipi itanifaa zaidi kati Toyota Spacio au Toyota Wish interms of space, comfortability, fuel consumption na changamoto nyingine. Budget yangu ni 12m nina plan kuchukua yard za bongo. Mawazo yako Ni msaada tosha kwangu!
 
Zote ni toyota...so sioni changamoto kubwa ya gari fulani kuishinda nyenzake maana vifaa vipo bwerere

Upande wa Space kwa mm naona Wish ina space kubwa ndan kuliko spacio

Confortability naona zote zipo sawa tu

Kwa Mafuta naona Spacio ya 1490cc inakula mafuta machache kuliko wish ya 1800cc

NB..Gari zote 2 sijawahi miliki ila nina expirience nazo kutoka kwa wamiliki wa hzo gari
 
Zote ni toyota...so sioni changamoto kubwa ya gari fulani kuishinda nyenzake maana vifaa vipo bwerere

Upande wa Space kwa mm naona Wish ina space kubwa ndan kuliko spacio

Confortability naona zote zipo sawa tu

Kwa Mafuta naona Spacio ya 1490cc inakula mafuta machache kuliko wish ya 1800cc

NB..Gari zote 2 sijawahi miliki ila nina expirience nazo kutoka kwa wamiliki wa hzo gari
Vp kwa budget yangu je naweza kupata kwa yard za bongo?
 
Upande wa space kwa Spacial inachukua 7 passengers, comfortability kawaida tu.
 
Hii spacio yenye 3rd row mbona mi sijawahi kuiona. Hii ni mara ya pili kama sio tatu naskia mtu anazungumzia 3rd row seating wakati ile gari dimension zake ni zile zile.
Ni kasiti kembamba sana mkuu, kwa ajili ya watu wawili (nafikiri watoto).

Wakikaa watu wazima magoti hayatoshi na gari inachuchumaa kiasi cha rear bumper kuburuza kwenye matuta..

Screenshot_2020-12-05-08-21-17-1.jpg
Screenshot_2020-12-05-08-23-05-1.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kasiti kembamba sana mkuu, kwa ajili ya watu wawili (nafikiri watoto).

Wakikaa watu wazima magoti hayatoshi na gari inachuchumaa kiasi cha rear bumper kuburuza kwenye matuta..

View attachment 1641978View attachment 1641979

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaa nakumbuka nilishabishana na dereva mmoja nusu tutiane ngumi. Bora leo umemaliza utata. 😂

Itakuwa visiti vya watoto hivyo halafu hazinaga uvungu so magoti yanakuwa juu juu lazma uchoke mapema kwenye safari.
 
Thanks Sana wadau hapo kura itabidi iende kwa wish!
 
Ahaa nakumbuka nilishabishana na dereva mmoja nusu tutiane ngumi. Bora leo umemaliza utata. 😂

Itakuwa visiti vya watoto hivyo halafu hazinaga uvungu so magoti yanakuwa juu juu lazma uchoke mapema kwenye safari.
Hizo siti zinafanana na sienta.
Kwa kifupi ni kwajili ya watoto Tu
 
Chukua wish ila agiza nje ya nchi hizi yard za Tanzania zina ujanja ujanja mwingi be forward au sbtjan utachagua uipendayo na iliyotembea km chache Zaid.
 
Chukua wish ila agiza nje ya nchi hizi yard za Tanzania zina ujanja ujanja mwingi be forward au sbtjan utachagua uipendayo na iliyotembea km chache Zaid.
Mchango wako naufanyia kazi kiongozi
 
Chukua wish ila agiza nje ya nchi hizi yard za Tanzania zina ujanja ujanja mwingi be forward au sbtjan utachagua uipendayo na iliyotembea km chache Zaid.
Mchango wako naufanyia kazi kiongozi
 
GPP1922

Zote ni 7 seaters

Sio machaguo mabaya sana, tofauti ni ground clearance yake. Kwahiyo ushauri wangu.

Kama labda ni mtu wa safari za mara kwa mara napia unaingia ndani ndani kenye barabara mbovu mbovu , ni bora uchague hii Spacio maana iko juu tofauti na wish.
 
Back
Top Bottom