KUCH KUCH JF-Expert Member Joined Dec 18, 2015 Posts 1,327 Reaction score 966 Apr 24, 2018 #41 Nimeelimika vya kutosha. Asanteni
Abuu Kauthar JF-Expert Member Joined Jul 10, 2011 Posts 4,296 Reaction score 6,492 Apr 24, 2018 #42 LEGE said: mkuu kama voltz sio toyota ni nani sasa?? acha kukalili maisha mkuu rav 4 old model leo bado unaziwazia?? huko wazungu washakimbia zamani sana mzee Click to expand... Voltz sio toyota kwanza zile zinaitwa Nummy Voltz, toyota walizinunua baada ya soko lake kufeli. Na zilitengenezwa elf 10 tu left hand. Kwa hiyo jamaa yupo sawa
LEGE said: mkuu kama voltz sio toyota ni nani sasa?? acha kukalili maisha mkuu rav 4 old model leo bado unaziwazia?? huko wazungu washakimbia zamani sana mzee Click to expand... Voltz sio toyota kwanza zile zinaitwa Nummy Voltz, toyota walizinunua baada ya soko lake kufeli. Na zilitengenezwa elf 10 tu left hand. Kwa hiyo jamaa yupo sawa
KINGSLEE JF-Expert Member Joined Aug 30, 2013 Posts 830 Reaction score 1,046 Jun 6, 2023 #43 Raimundo said: Hivi kwa nini watu hampendi kujielimisha? Nimesema nenda google, Toyota ni wabia kwenye usambazaji wa hayo magari. Ila siyo wazalishaji. Magari walistop kutengeneza siku nyingi. Click to expand... IVI NI KWANINI WALISTOP KUZALISHA HIZI GARI?
Raimundo said: Hivi kwa nini watu hampendi kujielimisha? Nimesema nenda google, Toyota ni wabia kwenye usambazaji wa hayo magari. Ila siyo wazalishaji. Magari walistop kutengeneza siku nyingi. Click to expand... IVI NI KWANINI WALISTOP KUZALISHA HIZI GARI?