Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Wakuu nawasabahi!!
naomba kupewa ufahamu wa haya mambo ambayo mara nyingi tumekuwa tukinyanyaswa na Trafic Police bila hata kujua sheria zao.
Hivi unapokuwa charged na trafic case na ukatozwa faini baada ya hukumu trafic case hiyo inaweza kuwa case ya madai?na ni kwa tukio gani ambalo linawezapelekea trafic case kuwa case ya madai.
nashukuru wakuu.
naomba kupewa ufahamu wa haya mambo ambayo mara nyingi tumekuwa tukinyanyaswa na Trafic Police bila hata kujua sheria zao.
Hivi unapokuwa charged na trafic case na ukatozwa faini baada ya hukumu trafic case hiyo inaweza kuwa case ya madai?na ni kwa tukio gani ambalo linawezapelekea trafic case kuwa case ya madai.
nashukuru wakuu.