Tatemahunda
JF-Expert Member
- Sep 14, 2013
- 232
- 91
Wakuu salaam,
Tangu nilipokua mdogo hadi sasa Nina 26, sasa tumbo langu ni kubwa mithili ya kitambi au minyoo, nimejaribu kutumia dawa za minyoo lakini hamna mabadiliko. Nawaza sijui niende hospitali?! Lakini napata ugumu kwenda hasa nikiwaza halina maumivu..
Naombeni anayejua tatizo hili anisaidie tafadhali.....
Natanguliza shukrani.
Tangu nilipokua mdogo hadi sasa Nina 26, sasa tumbo langu ni kubwa mithili ya kitambi au minyoo, nimejaribu kutumia dawa za minyoo lakini hamna mabadiliko. Nawaza sijui niende hospitali?! Lakini napata ugumu kwenda hasa nikiwaza halina maumivu..
Naombeni anayejua tatizo hili anisaidie tafadhali.....
Natanguliza shukrani.