Msaada: Tumbo kubwa kama kitambi

Tatemahunda

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2013
Posts
232
Reaction score
91
Wakuu salaam,

Tangu nilipokua mdogo hadi sasa Nina 26, sasa tumbo langu ni kubwa mithili ya kitambi au minyoo, nimejaribu kutumia dawa za minyoo lakini hamna mabadiliko. Nawaza sijui niende hospitali?! Lakini napata ugumu kwenda hasa nikiwaza halina maumivu..

Naombeni anayejua tatizo hili anisaidie tafadhali.....

Natanguliza shukrani.
 
Je ni kitambi cha kawaida?
Na linaugumu wowote?
 
Huo ni unene uliokithiri ambao utasababisha afya yako kudorora.
piga mazoezi.
acha vyakula vya mafuta.
punguza vyakula vya wanga.
pendelea matunda na mboga mboga.
 
Huo ni unene uliokithiri ambao utasababisha afya yako kudorora.
piga mazoezi.
acha vyakula vya mafuta.
punguza vyakula vya wanga.
pendelea matunda na mboga mboga.

mkuu mimi ni mwembamba tu, kilo zangu pia chache (59), na hii hali nilikua nayo tangu napata akili, si mtumiaji wa vyakula vya mafuta kabisa..
 
hicho ni kitambi mkuu... anza mazoez ya tumbo ukipunguze...
kama ni mnywaji sasa acha au punguza..
 
Una urefu gani!! Kilo 59 si Mdogo wala si za mtu mwembamba. Km hauna 154 kutakuwa over weight. Kwa hiyo huo ni unene tu
 
Nichel whatsup kunamaswal nitakuuliza na kujua tatzo
Ila vipimo ni muhm sn 0714.912.390
 

Piga picha tulione
 
UMUHIMU WA KUSAFISHA UTUMBO MPANA
Kuna sababu 18 ambazo zinkupelekea ULAZIMIKE kusafisha utumbo wako MPANA. HILI ni eneo ambalo uchafu wote ambao unahitajika kutoka kwa njia ya haja KUBWA UNAKWAMA.
1. UCHAFU HUO HUPELEKEA WADUDU WENGI KUISHI ENEO HILI KAMA BACTERIA,VIRUS, MINYOO YA KILA AINA NA UKUBWA MBALI MBALI
2.VYUMA KUTOKA VIWANDANI NA MASUFURIA YA ALUMINIUM YATUMIKAYO KUPIKIA
3. MAFUTA YALIYOGANDA KWENYE KUTA ZA TUMBO
4. MAWE

5.PRESERVATIVES( KEMIKALI ZINAZOZUIA VITU VINGINE VISIHARIBIKE)
MKUSANYIKO WA UCHAFU WA AINA ZOTE HIZI HUSABABISHA MATATIZO NA MAGONJWA YAFUATAYO;
1. KUTOPATA CHOO MARA MBILI NA ZAIDI KWA SIKU
2.KUWA NA GESI TUMBONI
3. TUMBO HUCHAFUKA MARA KWA MARA
4.MATATIZO YA MAGONJWA YA MOYO
5.KUPUNGUA KWA NGUVU ZA KIUME
6.MATATIZO YA HEDHI
7.UTI SUGU
8.KIUNGULIA
9.GANZI YA MIGUU NA VIDOLE
10.MIFUPA KUVIMBA
11.KUBADILIKA BADILIKA KWA KIWANGO CHA SUKARI KATIKA DAMU
12.MAUVIMBE MWILINI NA SARATANI YA TUMBO
13.MAGONJWA YA NGOZI
14. KUKOSA USINGIZI NA KUMBU KUMBU
15.MWILI KUKOSA NGUVU
16.HARUFU MBAYA MDOMONI NA KIKWAPA
17.MACHO KUTOONA VIZURI
18. UVIMBE WA TEZI DUME(PROSTATE GLAND)
4LIFE FIBRE SYSTEM PLUS | Afya4life
UNAWEZA KUSAFISHA TUMBO HILO KWA KUTUMIA 4LIFE FIBRE SYSTEM PLUS( 10 DAYS) AU kwa KUTUMIA TEA4LIFE KWA MUDA WA SIKU 30. MAWASILIANO NI 0659-649891
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…