Msaada tumbo kuuma mara kwa mara na hedhi haina muda maalum

Sijawa mkali ningelikuwa ni mkali nisingeweza kukujibu jaribu kunielewa ndugu?
 
Mim nimzungushe kwani mimi nipo bongo? sipo bongo yapata miaka zaidi ya 20 nitaweza mtu kumzungusha? ahhhh kazi kweli ipo yakhe...................
MziziMkavu sina maana mguu kwa mguu nina maana kumuelekeza sehemu ambazo angepata kwa urahisi thats all. Shukran
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Majigo umekwenda kupima H.I.V. ? nina kujoki rafiki yangu........

hahahahah umenikumbusha kuhusu hilo mwili wangu wote umekufa ganzi, nasikia kuna kipimo private , unajipima mwenyewe ukiwa umejifungia gheto
nina mpango wa kukitafuta hicho kipimo mkuu!
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu sina maana mguu kwa mguu nina maana kumuelekeza sehemu ambazo angepata kwa urahisi thats all. Shukran

hata pale kariakoo stendi ya mwenge ni maduka ya waarabu, mi nimemuelewa..kapumzike dokta wangu MziziMkavu!
Subiri feedback baada ya kupona
 
Last edited by a moderator:
Ningeshauri ukafanye abdominal pelvic utrasound kwanza kabla ya kuaza matibabu

tayari ashafanya wakamwambia ana chango ya uzazi
dawa mbalimbali za hospital alizotumia ,hazijamsaidia
 
Ok ana umri gani?

Kuna dawa unaweza kuzitumia zinaweza kukusaidia
 
dokta mzizimkavu ahsante zile dawa nimezipata
mda si mrefu nitaanza matibabu na nitaleta mrejeasho hapa panapo majaaliwa Inshaalah!!
 
Mimi ninamiaka 28,hedhi yang hain tareh maalum ila mzunguko28,ss breast zinauma n zinaongezeka na tumbo ndo usiseme, hasira ndo nyumbani kwao, je ninatatiz gani
 
Kapime upt most likely pregnancy
 
Ndugu hali hy huaga inanitokea mara nying ninapokaribia menstr yaan breast huvimba na huuma,hasira, tumbo huuma pia.
 
Ndugu hali hy huaga inanitokea mara nying ninapokaribia menstr yaan breast huvimba na huuma,hasira, tumbo huuma pia.

pole sana mkuu
umejaribu kumuona dokta wa wanawake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…