Msaada tumbo kuuma ninapolamba asali

chikwakala

Member
Joined
Aug 17, 2014
Posts
28
Reaction score
6
Mara nyingi nikilamba asali huwa tumbo linauma sana nashindwa kuelewa tatizo ni nini msaada kwa aliye na uelewa wa tatizo hilo.
 
Wanadai ndo huwa inafanya kazi, siunajua ina kazi nyingi mwilini hasa ile yenye masega yake.Usilambe nyingi sana pia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…