Msaada: Tumbo kuunguruma

masanzakona

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2014
Posts
228
Reaction score
121
Wana JF, hasa matatibu naomba msaada wa ushauri

Tumbo langu linaunguruma sana, kiasi kwamba linaninyima amani mbele za watu hata hapa ofisini sina amani kabisa kwani linaunguruma sana sijui ni nini, mwanzo nilidhani kwa kuwa sijanywa chai labda ndio sababu but hata nikimywa chai kelele za tumbo ziko palepale, nishauri nifanye sometimes nakwepa hata meeting sababu hii.
 
kapime minyoo, au tumia dawa za minyoo kwanza, kama njia ya mkojo pia unahisi kuna maumivu kapime U. T. I
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…