Msaada tutani waungwana.
Hapa ni screenshot ya Simu iTel A58 - android kwa juu:
1. Kushoto juu ni saa 22:19
2. Kinachofuata ni ki icon cha nini na kinatoka vipi?
3. Kinachofuata ni notification ya WhatsApp kuwa kuna new message.
4. Kinachofuata ni ki icon cha nini na kinatoka vipi?
Tupeane maujanja tafadhali.
Natanguliza shukurani.
Hapa ni screenshot ya Simu iTel A58 - android kwa juu:
1. Kushoto juu ni saa 22:19
2. Kinachofuata ni ki icon cha nini na kinatoka vipi?
3. Kinachofuata ni notification ya WhatsApp kuwa kuna new message.
4. Kinachofuata ni ki icon cha nini na kinatoka vipi?
Tupeane maujanja tafadhali.
Natanguliza shukurani.