Ni aina ya mayai bandia ambayo kuna kampuni ilipigwa marufuku kuyasambaza kutokana na hilo tatizo Nadhani kama sio Interchick basi ni Amadori iliokuwa Kongowe ya MbagalaKama picha inavyojieleza, naomba mwenye ufahamu wa aina hii ya mayai. kwa nje yana shell yenye rangi nyeype. Ukilivunja kiini ni njano kawaida ila chepesi mno kiasi kwamba unachanyanyika na ute kabla hata ya kuchanganya. View attachment 1884940
Factory made mkuu, usihadaike na rangi.Kama picha inavyojieleza, naomba mwenye ufahamu wa aina hii ya mayai. kwa nje yana shell yenye rangi nyeype. Ukilivunja kiini ni njano kawaida ila chepesi mno kiasi kwamba unachanyanyika na ute kabla hata ya kuchanganya. View attachment 1884940
Kiini hakipaswi kuchanganyika na ute kabla ya kuchanganywa..ukiona hivyo tambua ni tatizoFactory made mkuu, usihadaike na rangi.
Mara nyingi hutokea na dawa unazompa kuku kuwa nyingi kuzidi au ukosefu wa madini chuma katika mchanganyiko wa vyakula unavyompa kuku wakoKama picha inavyojieleza, naomba mwenye ufahamu wa aina hii ya mayai. kwa nje yana shell yenye rangi nyeype. Ukilivunja kiini ni njano kawaida ila chepesi mno kiasi kwamba unachanyanyika na ute kabla hata ya kuchanganya.
View attachment 1884940
Usiyale kwa sababu hata kama yametagwa na kuku bado hayafai kwa sababu Kuku hao walipungukiwa na virutubisho.Nilimtuma kijana amenunua ila yananipa mashaka kidogo.
Hayo mayai yalishapigwa marufukuNilimtuma kijana amenunua ila yananipa mashaka kidogo.