mrejesho wa kitu gani mkuu
Nifoadie na mm mkuu huo mkataba PmMrejesho wa jinsi biashara inavokwenda na changamoto zake. Huenda changamoto utakazokutana nazo zikamsaidia mtu mwingine anaeanza au anaefanya biashara hii
Nifoadie na mm mkuu huo mkataba Pm
vijana wengi wa bodaboda licence zao zikimalizika muda hawa renew hapo kuwa makini,hakikisha umelipa sumatra,bima,nenda kwa usalama,fire extinguisher na kadi vyote viwekwe kwenye pikipiki,hakikisha service inafanyika,tafuta dereva asiyekunywa wala kuvuta sigara na usimpe sharobara weka mkataba wa mwaka mmoja then dereva anabidhiwa pikipiki inakuwa yake hapo ataitunzaMrejesho wa jinsi biashara inavokwenda na changamoto zake. Huenda changamoto utakazokutana nazo zikamsaidia mtu mwingine anaeanza au anaefanya biashara hii
Mkuu za asubuhi! naomba sampuli ya hii kitu mkuu pm.mkuu nimekutumia sampe PM. angalia kama inaweza kukufaa
Mkuuu Naomba nsaidie hiyoo sample ya mkatabamkuu nimekutumia sampe PM. angalia kama inaweza kukufaa
Mkuu za asubuhi! naomba sampuli ya hii kitu mkuu pm.
Angalia pm mkuuMkuuu Naomba nsaidie hiyoo sample ya mkataba
hii biashara sitaki kuisikia hata kidogo
Inategemea na uliye mpa mbona siku hizi ndio njia inayotumika sana!!kuliko ile ya hesabu kila siku?kwa mfano kwa darmkuu sikutishi ila hiyo hela hautoirudisha kabla ya pikipiki kwenda gereji kila wiki
kwa hili sio kweli kwani ndio njia bora inayotumika sana siku hizi!!mfano dar kila siku anakuletea shilingi 10,000!!kwa muda wa miezi kumi,pikipiki inakuwa yake na lazima aitunze kwani anajua baadaye itakuwa mali yake!!mkuu sikutishi ila hiyo hela hautoirudisha kabla ya pikipiki kwenda gereji kila wiki
NAOMBA UNITUMIE NA MM MKUUmkuu nimekutumia sampe PM. angalia kama inaweza kukufaa
Naomba unitumie na mm mkuu................. Asanteeemkuu nimekutumia sampe PM. angalia kama inaweza kukufaa
Naomba unitumie na mm mkuu................. Asanteee
Hii biashara kwa mkataba haina faida hata kidogo
Pikipiki inauzwa 2.5 million. Mkataba unaweka wa miezi 10 ambao ni sawa na kulipwa Tsh million 3 (10,000×30×10= Tsh 3,000,000=) kwa mwaka. Na baada ya hapo mkataba unaisha.
Hiyo ni sawa na kwa siku kuingiza faida ya Tsh 50,000/= kwa mtaji wa Tsh 2,500,000/=
Hapo sijaongelea risk kama pikipiki kuibiwa, kupata ajali, kupata dereva kimeo n.k
Hata mkataba ungekuwa wa miezi 12, bado faida itakuwa ni Tsh 91,000/= kwa mwezi, faida hii ni ndogo sana ukilinganisha na mtaji unaoweka. Mimi naona njia sahihi ya kufanya hii biashara bado ni kuletewa kiwango cha siku.
Mkuu naomba na mm unitumie hiyo sample.....
Habar wakuu,na mm nmetamani kuanza hii biashara ya bodaboda naomba nitumie sample ya mkataba.Cheki pm mkuu