Msaada tutani: Mwenye mkataba wa biashara ya Bodaboda

it is desemba today leta tena mrejesho
 
kiongozi nipe mwongozo ni documents zipi zinahitajika na gharama zake....nitashukuru kiongozi...napenda kuanzia biashara hii!!
 
mkuu nimekutumia sampe PM. angalia kama inaweza kukufaa

Habar best. Namimi nina changamoto ya kuandika mkataba wa kumkabidhi boda boda plz naomba sample niipitie nahisi kuna jambo la kujifunza
 



Naomba nam unitumie huo mkataba pia PM
 


Mkuu ni pikipiki ya aina yoyote au ni boxer tu ,, ?
 

Kumbe ni kweli ni wewe mwenyewe ulikuwa unataka msaada na si ndugu yako kama ulivyosema mwanzo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…