Msaada Tutani: Ni taasisi ipi ya mikopo kwa Dar naweza kupata mkopo wa 400,000 kwa leo?

kijana wa leo

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2011
Posts
2,921
Reaction score
7,173
Kama kichwa kinavyojieleza, nimepata dharura leo nahitaji mkopo wa faster kiasi cha laki nne, ni taasisi ipi wanaweza kutoa mkopo kwa riba nzuri, dhamana ipo kadri ya mahitaji ya taasisi...
 
Uko wapi ?

Una mpango wa kulipa baada ya muda gani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…