King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hebu tuwe wakweli, ni kabila gani halina washirikina ktk kabila hilo? au wewe umepimaje kuwa hao wakinga ndo washirikina? Na wewe mshirikina au umeambiwa? Nini kinakushangaza maendeleo yao!
Kama ishu ni kuua wangapi wameua na wako puu tu. Nani katajirika kwa kuwaua Albino? Na kama wewe unawajua hao wauaji, nenda kashtaki na utoe ushahidi mahakamani!
Ndo nyie msemao wachaga wezi, nenda magerezaji uone. wamasai, wahaya, wagogo, nk wako huko wameiba. Sema, kinadada wafanyao uzinzi na biashara ya umalaya je wote ni wahaya tu?
Una mawazo mgando wewe!
Wakinga watani zangu. Dogo unajiandalia kuwa msukule pole sana. Umepotea njia au sababu umeona wanawake wa kikinga wapole?
Unataka badilisha nyekundu kua njano? Haaa wakinga ni washirikina full stop
Poleee eti sisi wakinga washirikina hakuna kitu kama hiyooo, tunajua kutafuta pesa vevee no ushirikina...!!
mwelemi khakha!
Ninachojua mimi wakinga bahili kinoma,anaweza kuwa na million 50 lakini akawa anashindia bisi na maji tu,kwa hiyo uwe tayari wewe na watoto mtakaozaa kushindia bisi,safari njema.
sio kila damu ni ya biashara. Anajua kuwa kuna hayo mambo ndo maana anaulizia mahari.
watu wengi wanazungumzia kuwa wakinga ni wachawi,lakini mkuu naomba ujue wakinga waliopo mijini wako sehemu mbili. Kuna wafanyabiashara na wafanyakazi za kitaaluma. Kwa wafanyabiasha siwezi kubisha wapo wanaotoa na kujitoa kafara kama makabila mengine yanavyofanya. Lakini kumbuka mkinga ni mbanaji sana kwenye matumizi hivyo hufanikiwa mapema tofau na wengine wanaouza 100000 aafu anakunywa bia za elfu 80. Kwa wale waliosoma shule (kama ulivyosema) hakuna utoaji wa kafara hata kidogo kwa asilimia zote. Ndugu umepata mke mwema,mstaarabu na mwenye uchu na maendeleo! Shida ni kwamba wakinga wengi walichepukia kwenye biashara ndo maana wengi wanawafahamu hivyo. Siku hizi wapo wanaofanya biashara kisomi!
tatizo watu hawapendi maendeleo mtu asinunue eneo kariakoo kidogo 2 eti mchawi ulitaka ww ndio ununue au?wakinga n wachakarikaji n kama wapo wanaotumia uchawi bs n kidogo sna ww chukua jiko kk!ili kujihakikishia hili jihakikishie know ur fiancee family background utapata clue 2 km n washirikina au la
usiegemee hoja hiyo.. Itakupotosha na kukuharibia maisha ya ndoa. Mradi mnajuana vizuri inatosha. We si ndiyo umetaka kumuoa? Au yeye ''anakuhimizahimiza?'' hapo ndo uwe muangalifu,maana wa namna hiyo anaweza kuwa na wivu wa kupita kiasi..hadi utakerekwa!
Hakuna cha ushirikina wala nini mimi nijirani zangu na nimeolea huko nduhu shida vava wewe beba mzigo kilichopo ni wajasiliamali hawataki mwanaume mzembe mzembe eti lazima uonyeshe juhudi za kutafuta maendeleo eti.Kama ni brideprice haitofika 1.5m coz ana nyuzi(degree) hayo ya ng'ombe usiogope hata ukitajiwa mia wewe utacovert kwa Tsh let's useme kila m1 me ntalipa buku 10 then total 1m na mazagazaga mengine kilo 5,mkaja wa babu,bibi,kitambaa,hela ya barua ndani inakua hata na paluu(pauni aka buku 20) kusoma hakumuondolei mtu ushirikina kama hauamini ikifika kipindi cha uchaguzi angalia ma dr dr na ma prof wanavyoenda kwa waganga
\Bado haijafikia huko,sisi kila mtu yupo huru,mtu hakiona huu mkataba unakula kwake,yupo tayali kujiondoa
kwa wakinga waliosoma shule hakuna mambo ya uchawi kama wajumbe wanavyosema,hilo nakuhakikishia asilimia zote. Kwa upande wa mahari kuna vitu kwa ajili ya aunt, mjomba na bibi kama yupo. Hivyo unatoa on spot hakuna kubagain! Hivi vinaweza kuwa mbuzi,blanket,(vijijini kuna mtama,ulezi na mahindi gunia) nk. Pia kuna vitu vya kutumia siku ya kutoa mahari kama kuku, soda,bia na makulaji mengine. Vitu vya wazazi ambavyo ni ruksa kukamongo ni wanyama wa miguu minne, fedha na bidhaa nyingine ndogo ndogo. Hivyo utapeleka nusu na kuwaambia vingine mtamalizia, kama mnapeleka fedha thamani ya hicho kitu mnapana nyie. Huwa hatumalizi mahari,ni dharau. Inatakiwa mumtafute mzee wa kikinga ndo wanajuana,wapo wengi kila mji. Mahari ya binti haipangwi kulingana na elimu au mali ulizo nazo. If u love her oa tu,ni wazuri sana kwenye mipango,budget,malezi pia Watoto ni wa kwenu nyie na ndugu zako!
Nashukuru,umenifungua vizuri
\
Hapa umesema kiume.
Karibu kwetu Makete shemeji. Makete ni wilaya ya kazi, hakuna mtu lege lege kule, kuanzia mtoto hadi mzee. Mkuu, kila jamii ina madhaifu yake kwa kiwango fulani.