tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,327
- 4,624
Jamaa ana Rim moja imechanika (inch 22) wakati vijana wa NIT wakiipima gari yake. Kaunga mkoani mara 3, lakini kila akiunga huwa inatoa upepo kidogokidogo. Anatafuta wataalamu wa kuunga rim waliopo Dar.