k-bee
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 966
- 1,084
Kwema wanajamvi?? Nimeunga kifurushi cha Voda SME POST PAID cha Tsh 15,000/= kwa mwezi huu ni mwezi wa 3 natumia....!!
Shida nikitaka kulipa baada ya matumizi hela haiendi kwa akaunt yangu inakuwa UNSUCCESSFULL numelipa mara moja siku ya kuiactivate...!!
Msaada hapo nifanyaje mana siku unaweza kupata DENI la laki kadhaa wakat wakati huu ukitaka kulipa inagoma na je akaunt hizi zinaanza na Vsifuri au Voo
Shida nikitaka kulipa baada ya matumizi hela haiendi kwa akaunt yangu inakuwa UNSUCCESSFULL numelipa mara moja siku ya kuiactivate...!!
Msaada hapo nifanyaje mana siku unaweza kupata DENI la laki kadhaa wakat wakati huu ukitaka kulipa inagoma na je akaunt hizi zinaanza na Vsifuri au Voo