Msaada tutani wa gharama za kuvuta maji taka

Zero Competition

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2018
Posts
347
Reaction score
553
Gharama za kuvuta maji taka kwenye karo ni Tshs kwasasa kwa mwenye ufahamu ?

Nipo Mbezi Luis Dar es salaam, kama nitapata kujuzwa bei na namba za simu za watu wanaopatikana jirani na Mbezi Luis nitashukuru

Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…