WanaJF nifanyeje niwe na bass maana cjui niliruka stage kipindi nabarehe maana sijawahi kuwa na bass la kunguruma kama simba,nimejaribu kumeza mayai mabichi ila wapi,plz anayefahamu dawa yoyote anielekeze maana mtaani wananiita sharobaro m'bana pua!Natanguliza shukurani zangu kwenu wadau wangu!