Msaada tutani wataalam wa IT

Msaada tutani wataalam wa IT

Pesanyingi

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2023
Posts
1,157
Reaction score
1,983
Mwenye uelewa naomba msaada kwenye simu yangu kuna wakati naona Ina anatoa ujumbe huu"sms sent" wakati huo sijaandika wala kutuma sms yoyote na hiyo sms siioni zaidi ya huo ujumbe.

Nimejaribu kuzuia pamission zote za App ya kuwa na uwezo wa ku access simu yangu lakini bado sms hiyo inajitokea mara moja moja kwa siku.
 
Mwenye uelewa naomba msaada kwenye simu yangu kuna wakati naona Ina anatoa ujumbe huu"sms sent" wakati huo sijaandika wala kutuma sms yoyote na hiyo sms siioni zaidi ya huo ujumbe. Nimejaribu ku zuwia pamission zote za app ya kuwa na uwezo wa ku access simu yangu lakini bado sms hiyo inajitokea mara moja moja kwa siku.
kuna mtu ana access na simu yako remotely na ndo anayetuma hizo sms halafu anawahi kufuta.

kama sio hivyo bas simu lako litakuwa bovu
 
restore factory settings Mkuu, usisahau ku remove account (gmail) kabla ya kuifuta simu yako, epuka kuingia katika link za ajabu ajabu pia epuka mikopo ya mitandaoni. kuondoa account kabla ya ku format simu itakuondolea adha ya kukudai FRP lock.
 
Back
Top Bottom