Msaada tutani

Msaada tutani

mokoloko

Member
Joined
Mar 15, 2016
Posts
75
Reaction score
68
Kwenu wataalam na wadau wa kilimo huu ni mche wa pilipili hoho nimeujaribu kuchunguza shambani nikaona miche mitano iko zaifu baada ya kuing'oa nikakutana na hali hii je ninaweza kutumia dawa zipi kuutibu, na je tatizo hili linasababishwa na nini?,,.View attachment 1147685
IMG_20190705_170449.jpeg
IMG_20190705_170429.jpeg
 
Back
Top Bottom