Ndugu,jamaa na marafiki wa hapa JamiiForums mimi ni kijana ninayeomba msaada wa kueleweshwa njia za kuweza kununua gari zuri.
1.Nivitugani vya msingi vyakuweza kuzingatia katika manunuzi ya Gari?
2.Ni njia gani nitakazo weza kufuata ili niweze kupata gari hilo kama nimeagiza nje ya nchi?na pia malipo yake yanalipwa kwa mpango upi?
Samahanini kwa usumbufu ninaowapatia waungwana.naomba kuwasilisha.
1.Nivitugani vya msingi vyakuweza kuzingatia katika manunuzi ya Gari?
2.Ni njia gani nitakazo weza kufuata ili niweze kupata gari hilo kama nimeagiza nje ya nchi?na pia malipo yake yanalipwa kwa mpango upi?
Samahanini kwa usumbufu ninaowapatia waungwana.naomba kuwasilisha.